Hii ni kwa ajili ya mashabiki wote wa Simba Sports Club
Sunday, May 3, 2009
Special kwa Mdau wa Ughaibuni
Kikosi cha Simba kilichoshika nafasi ya pili katika msimu huu 2008/09/ Mwenye suti ndiye Coach mkuu Patrick Phiri.Bahati mbaya timu zetu hazina utamaduni wa kupiga picha ya pamoja na wachezaji wote waliosajiliwa ktk msimu n kuziuza.Hii ingeweza hata kuongeza kipato kidogo.
Mimi ni shabiki mkubwa wa Simba SC. Dhumuni langu la kuanzisha blog hii ni kupeana habari, kubadilishana mawazo na kukosoana na mashabiki wenzangu. Pia hii iwe changamoto kwa viongozi wa Simba kutumia Teknohama kuleta maendeleo klabuni
No comments:
Post a Comment