Tuesday, May 5, 2009

Makao makuu Msimbazi

Jengo la makao makuu ya Simba linavyoonekana kwa sasa.Kwa kweli hali yake hairidhishi ukilinganisha na hadhi ya timu, wakati umefika kwa viongozi kuonyesha ubunifu kusaka hela za kulikarabati na sio kusubiri wafadhili wajitokeze. mbona namna za kupata fedha ziko nyingi tu?Mahali lilipo ni kitega uchumi tosha kabisa.

No comments:

Post a Comment