Hii ni kwa ajili ya mashabiki wote wa Simba Sports Club
Friday, May 1, 2009
Fununu za Usajili
Kuna fununu kuwa Simba imemnasa kiungo wa kulia wa Yanga, Shamte Ally katika usajili wake. Habari hii bado ni fununu na haijathibitishwa na uongozi wala mchezaji mwenyewe.
Mimi ni shabiki mkubwa wa Simba SC. Dhumuni langu la kuanzisha blog hii ni kupeana habari, kubadilishana mawazo na kukosoana na mashabiki wenzangu. Pia hii iwe changamoto kwa viongozi wa Simba kutumia Teknohama kuleta maendeleo klabuni
No comments:
Post a Comment