Tuesday, May 19, 2009

Jezi za Mwaka

Hivi sasa timu za Uingereza zimeanza kuonyesha jezi zao watakazotumia msimu ujao wa ligi. Mauzo ya jezi ni moja ya chanzo kizuri tu cha kipato kwa timu za Ulaya. Hivi kwani timu yetu ya Simba inashindwa nini kutengeneza jezi za mwaka mzima zitakazotumika na timu yetu halafu ziwepo na jezi za washabiki? Mbona Taifa Stars wanaweza sasa hivi?Mdhamini ambae tunaweka tangazo lake anajulikana, sasa tatizo ni nini?Mbona za Taifa stars zinanunuliwa, kwa nini tusijaribu?

Hivi karibuni ntawawekea jezi ambazo wajanja wanaziuza mjini zikiwa na nembo ya Simba S.C.

No comments:

Post a Comment