
Musa Hassan Mgosi(pichani), mshambuliaji wa Simba na Taifa Staz, ambae ni mchezaji pekee wa Tanzania aliyechgauliwa timu ya Africa ya mashindano ya CHAN (best 16) ameitwa kwenda Norway kufanya majaribio katika timu ya Konsvinger ya huko. Ikumbukwe timu hiyo ndio imemsajili Henry Joseph wa Simba wiki 3 zilizopita. Mgosi anatazamiwa kuondoka tarehe 25 july. Kila la Kheri Mgosi.
No comments:
Post a Comment