Saturday, August 8, 2009

Simba Day yafana, Villa yapigwa 1 - 0

Tamasha la Simba Sports Club day limefanyika leo na kufana vilivyo. Tamasha hilo lililotanguliwa burudani ya muziki, utambulisho wa wachezaji na jezi za msimu lilimaliziwa kwa mechi kati ya Sima na SC Villa ya Uganda. Katika mechi hiyo Simba iliilaza Villa kwa bao 1 - 0 lililowekwa kimiani na mchezaji mpya wa simba aliyesajiliwa kutoka SC VIlla, Hillary Echesa

Ama kweli msimu huu utakuwa moto!

No comments:

Post a Comment