Wednesday, August 12, 2009
Tumepata Uzi wa mwaka,lakini.....
Saturday, August 8, 2009
Simba Day yafana, Villa yapigwa 1 - 0
Tamasha la Simba Sports Club day limefanyika leo na kufana vilivyo. Tamasha hilo lililotanguliwa burudani ya muziki, utambulisho wa wachezaji na jezi za msimu lilimaliziwa kwa mechi kati ya Sima na SC Villa ya Uganda. Katika mechi hiyo Simba iliilaza Villa kwa bao 1 - 0 lililowekwa kimiani na mchezaji mpya wa simba aliyesajiliwa kutoka SC VIlla, Hillary Echesa
Ama kweli msimu huu utakuwa moto!
Ama kweli msimu huu utakuwa moto!
Tuesday, August 4, 2009
Kwa taarifa yako!
Timu ya Simba Sports Club lipoanzishwa mwaka 1936, ilikuwa inaitwa QUEENS. Chukua hiyo shabiki wa msimbazi.
Subscribe to:
Posts (Atom)